Sunday, August 7, 2011

UZINDUZI WA ARTERIAL NETWORK TANZANIA

Waziri wa Habari, Utamaduni na Utalii wa Serikali ya Mapinduzi ya Zainzibar Mh. Jihad, ndiye alikuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa Mtandao wa wasanii wa Arterial Network Tanzania.

 Wajumbe wapya wa ANT kutoka kushoto ni Makamu mwenyekiti Ali Bakari, Katibu Mkuu Hassan Bumbuli, Mjumbe sekta ya Muziki Sauda Simba, Mjumbe sekta ya Habari Sophia Ngalapi, Mjumbe sanaa za maonyesho Godfrey Mngereza na Mjumbe sanaa za ufundi Sharifa Juma.


Waziri Jihad akiwa na wajumbe wa ANT waliomaliza muda wao


Mwenekiti wa ANT akitoa neno la shukurani kwa wajumbe wa Mkutano mkuu mara baada ya uchaguzi.

No comments:

Post a Comment